Makamu Wa Rais Mh Dr Philip Mpango amefugua rasmi jengo la ofisi ya Taifa ya Takwimu Kigoma. 

 

 

Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Amina Msengwa akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wakuu wa Ofisi za Takwimu Tanzania, Menejimenti na baadhi ya wafanyakazi wakati wa unzinduzi wa Jengo la Ofisi ya Taifa ya Takwimu Kigoma