Pato la Taifa katika kipindi cha Robo ya kwanza ya mwaka 2022 (Januari - Machi), Pato la Taifa kwa bei za mwaka husika liliongezeka hadi Shilingi trilioni 43.4 kutoka Shilingi trilioni 38.9 kipindi kama hicho mwaka 2021. Aidha, Pato la Taifa kwa bei za mwaka 2015 liliongezeka hadi Shilingi trilioni 34.9 katika robo ya kwanza mwaka 2022 kutoka Shilingi trilioni 33.1 katika kipindi kama hicho mwaka 2021, sawa na kiwango cha ukuaji wa asilimia 5.4.

Bonyeza hapa kupakua ripoti nzima