Ofisi ya Taifa ya Takwimu imetoa orodha ya viwanda kwa Tanzania Bara.
Tanzania Bara ina viwanda 50,776 kwa takwimu za Desemba 2015.
Orodha hii inaonyesha Jina la kiwanda, mkoa , wilaya na kata kilipo na shughuli kuu ya kiuchumi kufuata "Mwongozo wa Kimataifa wa Kuainisha Shughuli za Kiuchumi Toleo la Nne (International Standard Industrial Classification - Rev 4)".