May be an image of 4 people and people standing

 

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itafanya Sensa ya Watu na Makazi Mwezi Agosti Mwaka 2022. 

Maandalizi ya Sensa hiyo yanafanyika kwa mujibu wa Sheria ya Takwimu SURA 351.

Uzinduzi huu ulifanyika tarehe 22 Mei 2021 katika Viwanja vya Ofisi ya Taifa ya Takwimu vilivyopo Barabara ya Jakaya Kikwete karibu na Ukumbi wa Mikutano wa Chama Cha Mapinduzi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma.

Matangazo ya uzinduzi huo yalirushwa moja kwa moja kupitia Televisheni ya Taifa- TBC pamoja na mitandao mbalimbali ya Kijamii kuanzia saa mbili na nusu asubuhi.

 

Fuatilia matukio ya Uzinduzi kupitia

YouTube rolls out new icon, design changes for mobile, desktop app |  Technology News,The Indian Express  https://www.youtube.com/watch?v=ohKCvIAgV_k
33 Best Free Facebook Icons for Your Website - Hipsthetic

https://web.facebook.com/OfisiyaTaifayaTakwimu

Kiev Ukraine May 14 2016 New Stock Photo (Edit Now) 420683950

https://www.instagram.com/nbs.tanzania/?hl=en