NBS Accessibility Tools
NBS Accessibility Tools

Text Size

Language

AASS 2023/2024 Women's Empowerment and Nutrition Module: WEN Tanzania Gender and Environment Survey: TGES 2025 Utafiti wa Kufuatilia Kaya (National Panel Survey, Wave 6: NPS 2026 Tanzania Inflation Rate April 2026: 4.0 %
The United Republic of Tanzania

National Bureau of Statistics

Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dkt. Amina Msengwa katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Chuo cha Takwimu Afrika Mashariki.
Posted On: 03 September, 2025
Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dkt. Amina Msengwa katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Chuo cha Takwimu Afrika Mashariki.

Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dkt. Amina Msengwa akiwasilisha wasilisho la mchango wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu NBS katika mfumo wa takwimu rasmi nchini katika kipindi hiki cha kidigitali na changamoto zake. Dkt Msengwa ametoa wasilisho hilo Mkoani Dar es Salaam katika maadhimisho ya miaka 60 ya Chuo cha Takwimu cha Afrika Mashariki yaliyowakutanisha wadau wa takwimu kutoka ndani na nje ya nchi.