NBS Accessibility Tools
NBS Accessibility Tools

Text Size

Language

The United Republic of Tanzania

National Bureau of Statistics

Katibu Mkuu Dkt. Msemwa Akutana, Kufanya Mazungumzo, SG Dkt. Msengwa
Posted On: 02 April, 2026
Katibu Mkuu Dkt. Msemwa Akutana, Kufanya Mazungumzo, SG Dkt. Msengwa

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji anayeshugulikia Uwekezaji, Dkt. Fred Matola Msemwa leo tarehe 01 Aprili 2026 amemtembelea Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt. Amina Msengwa ofisini kwake, Jengo la Makao Makuu ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu jijini Dodoma.

Viongozi hao wamekutana na kufanya mazungumzo ya pamoja juu ya matumizi ya Takwimu katika kuchochea  na kuvutia shughuli za uwekezaji nchini.