Dkt. Minja Afungua Warsha ya Kitaifa Upatikanaji Takwimu za Kupima Mabadiliko ya Tabianchi
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Ofisi ya Taifa ya Takwimu -NBS, Dkt. Ruth Minja kwa niaba ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dkt. Amina Msengwa, tarehe 01 Septemba 2026 amefungua warsha ya kitaifa ya siku mbili kuhusu upatikanaji wa Takwimu za kupima mabadiliko ya Tabianchi.