Mdadisi wa Utafiti wa Kuboresha Njia Bora ya Ukusanyaji wa Taarifa za Mifugo (ng’ombe), Elizabeth Lucas akitekeleza jukumu lake katika Utafiti huo kwenye Kijiji cha Meserani Juu, Kata ya Meserani, Wilaya ya Monduli, Mkoani Arusha tarehe 01 Aprili 2026.