Mhe. Kwagilwa: Tutunze Mazingira Kuelekea 2050
Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Reuben Kwagilwa (Mb), amefungua rasmi maadhimisho ya Wiki ya Mazingira yanayofanyika kwenye viwanja vya Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma leo tarehe 1 Juni 2026.