Katibu Mkuu Dkt. Msemwa Akutana, Kufanya Mazungumzo, SG Dkt. Msengwa
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji anayeshugulikia Uwekezaji, Dkt. Fred Matola Msemwa tarehe 01 Aprili 2026 amemtembelea Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt. Amina Msengwa ofisini kwake, Jengo la Makao Makuu ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu jijini Dodoma.