Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Taifa ya Takwimu

Takwimu kwa Maendeleo
Takwimu za Uwekezaji

Ripoti za Uwekezaji Tanzania, hutolewa kwa pamoja kati ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS). Ripoti hizi zinaonesha Uwekezaji wa Mtaji Binafsi wa Kigeni (Foreign Private Investment-FPI) na kubainisha kwa kina mtiririko wa Uwekezaji wa mtaji kutoka nje (Foreign Direct Investment - FDI). Tafiti hizi za uwekezaji hufanyika kila mwaka na zinalenga makampuni yenye mali na madeni ya kigeni ambapo huwezesha kutayarisha chapisho la ripoti hizi. Kwa taarifa zaidi, wasiliana nasi kupitia anwani ya barua pepe: valerian.tesha@nbs.go.tz

Mada Zinazohusiana